WATU 54 WATHIBITIKA KUWA NA MAAMBUKIZI YA UGONJWA WA SURUA NCHINI
Ña Barnabas Kisengi Dodoma Wizara ya Afya Imethibitisha kuwa watu 54 wamekutwa na maambukizi ya ugonjwa wa surua kwa kipindi cha julai hadi agosti 2022 hapa Nchini huku wakiwemo wagonjwa 48 waliokuwa na umri usiozidi miaka 15 na wagonjwa 6 waliokuwa na umri wa zaidi ya miaka 15 huku kukiwa hakuna taarifa ya kifo kilichobainishwa
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed